Monday, June 10, 2013
Hatma ya dhamana ya lwakatare kujulikana kesho
Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es salaam, kwa mara nyingine imeahirisha maombi ya kupewa dhamana ya kesi inayomkabili mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa Chama cha demokrasia na maendeleo -Chadema, Wilfred Lwakatare.
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake