Makamu wa rais Dr. Mohamed Gharibu Bilal amewataka Watanzania kuendelea kuwa na imani na serikali yao kwa kuwa watulivu na kuipa nafasi ya kukishughulikia kikundi kidogo kinachojaribu kuchezea maisha ya wananchi kwani muda wa kuvumilia vitendo vya aina hiyo sasa umekwisha.
1 comment:
Duu! Mweshimiwa Mbowe ametoa shutuma kubwa jamani!!!
Post a Comment