ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, June 20, 2013

Mbowe, Lema wajisalimisha polisi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wamejisalimisha leo katika kituo Kikuu cha Polisi Mkoani Arusha kwa ajili ya kuhojiwa.

No comments: