ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, August 8, 2013

HUYU NDIO MHADHIRI WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM(UD)ALIYEFARIKI KWA KUPIGWA RISASI

Mhadhiri wa College of Engeneering katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Patrick Rweyongeza, ameuawa jana kwa kupigwa na risasi.

Tukio limetokea jana mchana katika maeneo Magomeni-TANESCO wakati marehemu akielekea mjini ambapo watu waliokuwa wamepakizana kwenye pikipiki walimfuata na kumfyatulia risasi na kisha kutokomea.

No comments: