ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, September 10, 2013

MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU YAKE MWENYEWE

Dereva wa bodaboda akisafirisha nyanya
Wafanyabiashara wa nyanya wakisubiri wateja. Huu ni msimu wa nyanya ambapo zao hilo limepungua bei huku kisado kikiuza hadi Sh. 1500.



Jamaa wakilinda mzigo wao nyuma ua Canter, kutoka Soko la Kariakoo kuelekea Tegeta.




haikuweza kufahamika jamaa hawa walikuwa wakisafiri kwa staili hii kuwa walikuwa na matatizo ya kijamii au ndo tatizo la usafiri, hapa wakitokea bagamoyo kuelekea Chalinze katika barabara mpya....

No comments: