ANGALIA LIVE NEWS

Friday, October 4, 2013

NAPE : TUNAIMANI NA TUME YA KATIBA



Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM-Lumumba Dar es Salaam. Alikuwa akitoa ufafanuzi kuhusu masuala yahusuyo Mchakato wa Katiba mpya na kusema "tunaheshimu tume,tunaimani nayo na tunaahidi ushirikiano wa kutosha katika mchakato wa Katiba".

1 comment:

Anonymous said...

Nape ASANTE sana ila uelewe wazi kabisa wewe unachangia sana kuleta machafuko nchini tokana na usabiki wako wa katiba utafikiri ulikuwepo kwenye kukusanya maoni. Ulicho nacho hakitoshelezi tu, tuacheni tamaa jamani tuone waliowengi ni wepi. Mungu ilinde Tanzania.