Saturday, November 23, 2013

Bi. Mkumwena Hudu Bint wa Bondia mkongwe Iraki Huddu achukua Nondozzz UDSM

Bondia mkonwe Iraki Huddu aka "Simba asiye zeeka" juzi kati alionekana tena
katika ukumbi wa Milimani City, kumsindikia bint yake Bi.Mkumwena Huddu ambaye amemaliza kuitimu na kupata shahada ya BA - Culture Heritage chuo kikuu cha UDSM ,Iraki Huddu anaonekana anawapandisha watoto
wake katika ulingo wa ELIMU ya juu sio ulingo wa ngumi, Bint huyo Mkumwena Huddu
sasa anaenda UDOM -Dodoma kuchukua MA,Natural Resource.
Ni miezi ya nyuma tu mtoto wake mwingine alichukua nondo kule UDOM....
sasa Bondia Iraki Udu anasema Boxing for High Education....kwa familia yake
kwa picha zaidi bofya soma zaidi

No comments: