Ngassa akimtoka Themba Ndhlove
Mbwana Samatta akiwachambua mabeki wa Zimbabw
Samatta akipiga shuti baada ya kufanikiwa kuwachambua mabeki wa Zimbabwe
Aggrey Morris aliyeruka juu kupiga kichwa langoni mwa Zimbabwe baada ya kupanda kusaidia mashambulizi wakati kona inapigwa
Shomary Kapombe akiteleza upande wa kushoto
Mwinyi Kazimoto akimpa pasi Mbwana Samatta, huku wamezongwa na wachezaji wa Zimbabwe
Mbwana Samatta akimpiga chenga Mzimbabwe
Kiungo Hassan Dilunga akiwatoka viungo wa Zimbabwe
Erasto Nyoni ameruka kupiga kichwa
Aggrey Morris anapanda
Thomas Ulimwengu akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Zimbabwe
Ivo Mapunda akidaka shuti la Simba Sithole
Beki Kevin Yondan akipanda
Kikosi cha Stars leo
Kikosi cha Zimbabwe leo kwahisani ya bin zubeiry
Aggrey Morris aliyeruka juu kupiga kichwa langoni mwa Zimbabwe baada ya kupanda kusaidia mashambulizi wakati kona inapigwa
Shomary Kapombe akiteleza upande wa kushoto
Mwinyi Kazimoto akimpa pasi Mbwana Samatta, huku wamezongwa na wachezaji wa Zimbabwe
Mbwana Samatta akimpiga chenga Mzimbabwe
Kiungo Hassan Dilunga akiwatoka viungo wa Zimbabwe
Erasto Nyoni ameruka kupiga kichwa
Aggrey Morris anapanda
Thomas Ulimwengu akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Zimbabwe
Ivo Mapunda akidaka shuti la Simba Sithole
Beki Kevin Yondan akipanda
Kikosi cha Stars leo
Kikosi cha Zimbabwe leo kwahisani ya bin zubeiry
No comments:
Post a Comment