ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, December 26, 2013

DIAMOND KUWASOMESHA SHULE WATOTO WATATU WALIO SHINDA KUCHEZA NGOLOLO

Mmoja ya watoto watatu walioshinda kucheza ngololo.management yangu ya WCB itawasomesha miaka yote waliyobakiza shuleni ikiwa ni pamoja na kuwahamishia katika shule zilizo bora zaidi....Ahsanten sana Daresalaam kwa sapoti mliyonipa jana ....

No comments: