Advertisements

Sunday, December 15, 2013

SIMBA YAICHAPA KMKM 3-1

 Kikosi cha Simba.
 Kikosi cha KMKM
 Uhuru Seleman akimtoka beki wa KMKM ya Zanzibar, Faki Ali Hamad katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. 
 Uniwezi kijana.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic akiwapungia mkono mashabiki wa timu hiyo.
Ali Bushir akisalimiana na kocha wa Simba, Zdravko Logarusic


Uhuru Seleman akiambaa na mpira huku Faki Ali Hamad akitambaa.
Uhuru Seleman akijiandaa kupiga krosi..
Heka heka katika lango la KMKM.
Said Ndema akitafuta mbinu za kuwato wachezaji wa KMKM.
Mashabiki wa Simba.
Uhuru Selemani akitafuta mbinu za kuwatoka walinzi wa KMKM.
Kocha wa KMKM, Ali Bushir akitoa maelekezo kwa wachezaji wake- Michuzi

No comments: