.
Msiba wa Mamaake Amne Shaaban Salim mke wa Bwana Fuad wa Brooklyn Bi.Fatma Muhsin Zahran uliotokea Pemba,Tanzania leo Alkhamis.Wanajumuiya tuungane kuwafariji wenzetu katika kipindi hiki kigumu.M/Mungu amsameh marehemu makosa yake na awape subra wafiwa.Namba ya simu ya nyumbani kwa Bwana Fuad ni :718 348 0203. Sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake ndio marejeo yetu. AMEEN.
Hajji Khamis
Chairman
New York Tanzanian Community.
No comments:
Post a Comment