Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliyeshabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni kama mlivyojaribu
kukoment hapo juu, comment ambazo ni wachache wanaweza kuziandika hasa kipindi hiki cha msiba. pointi kubwa juu ya dai hili ni
1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani.
2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals.
3/.Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo!
4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela
5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo
wa ukombozi wa weusi .............hata mm cwez nikafungwa miaka yote iyo afu eti aliyenifunga nicmfukuze aiwezi kuwa xawa even me naunga mkono huyu mandela anaweza kuwa wa mabox
2 comments:
nakubalia naa maneno yaliyoandikwa na watu weusi wa south africa usisikiye wee uwekwe ndani na makaburi halafu utoke fresh si mchezo kabisa na hata magereza ya kimarekani wanaokaa weusi wakitoka ndo maana wanataka warudi tena ki psychologia wameshaharibiwa na kimwili pia so kukaa jela si mchezo wanandugu si mchezo kabisa omba mungu usiingiye jela tena ukiwa mfungwa wa kisiasa
Hizo ni bangi tu zinawasumbua watu. Hakuna ukweli wowote wa swala hilo la Mandela bandia.
Post a Comment