ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, December 24, 2013

WAZIRI MWAKEMBE AFANYA UKAGUZI WA BEI ZA TIKETI ALFAFJIRI MAENEO YA VISIGA

Waziri wa Uchukuzi,Dr Harisoni Mwakembe afanya ukakuguzi wa tiketi ilikubaini mabasi yaliyo toza gharama kubwa za nauli zakusafiria katika kipindi cha Xmass na mwaka mpya,badhi ya mabasi yalikamatwa nakuamuliwa kurudisha nauli zilizozidi abiria wao.zoezi hilo limefanyika majira ya alfajiri katika eneo la Visiga mkoani pwani na kila basi lilozidisha nauli lilitozwa faini ya shilingi laki mbili na nusu.

2 comments:

Anonymous said...

Inatia moyo .kumbe wapo viongozi.kazi nzuri tunakusoma.

Anonymous said...

I like this dude! He's the best Minister ever. We need 10 Mwakyembes to change our country.