ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, January 22, 2014

KUKIWA NA THELUJI HII NDIO HABARI YAKE

Jamaa anaanguka chini afikie wapi sasa, Maana tumezowea kuona mtu anaangu juu ya mti au nyumba na anaangukia chini hii sasa itaitwaje  papo kwa hapo au?. Siyo movie wala nini ni theleji hiyo imempiga mweleka mzungu wa watu na kaanguka kizungu hasa.

watu wanaanguka na bado wameshikilia vitu vyao mikono kunanini ndani. Kulia ni kuanguka kichina na kushoto ni kuanguka kizungu kazi hiyo.
Huyu ni messenger kala mweleka na baiskeli yake pwah...theleji mbaya sana.

4 comments:

Anonymous said...

dj luke hapa ni mji gani/state gani ahsante kwa kutupa makavu live

Anonymous said...

Hapo panaonekana ni Manhattan NYC

Ebra said...

NEW YORK CITY HIYOOO!!

Anonymous said...

Hata mm nilishaanguka black ice ni nouma