ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, January 23, 2014

MVUA KUBWA YAEZUA MAPAA YA NYUMBA KADHAA, NI BAADA YA HELKOPTA YA CHADEMA KUTUA KYELA.

Helekopta ya CHADEMA ikiwa inatuwa Kyela
Hii Ni mojs ys nyumba iliyo ezuliwa na Mvua kubwa zinazonyesha Kyela Muda huu
Nyumba nyengine ikiwa ime ezuliwa na Mvua hiyo
PICHA NA MBEYA YETU BLOG

3 comments:

Anonymous said...

Kwahiyo kama hecopter ya Chadema isingetua, mvua ingeezua mapaa?? Kama helcopter ya polisi ingetua, jua lingewaka?? Mwandishi, unaweza fafanua uhusiano wa helcopter, na mvua kuezua mapaa ya nyumba?

Unknown said...

Duh! majungu hadi Vijimambo. Yaani Vijimabo mnawapiga majungu CHADEMA hahahaaaa

Anonymous said...

naona hizi ni habari mbili tofauti