ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, January 29, 2014

SHUKURANI ZA DHATI

Familia ya Edward Waigama, inapenda kuchukuwa nafasi hii kutoa shukurani za pekee kwa ushirikiano na upendo wa wana DMV mliounyesha wakati nimeodokewa na mama mpendwa 12/11/2013. Niliwahi mazishi yaliyofanyika 12/16/13 na nimerudi salama. Mungu awazidishie kwa ukarimu wa pekee na faraja mliotupatia, si tu wakati wa kuondokewa na Mama 12/2013, hata kipindi nimefiwa na Baba 09/2012. Ahsanteni sana, Mungu awazidishie upendo huo huo.

1 comment:

Anonymous said...

pole sana mpendwa kwakuondokewa na wazazi .