ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, January 1, 2014

WAZIRI WA FEDHA,DK. WILLIAM MGIMWA AFARIKI DUNIA

Taarifa ya kuaminika iliyoifikia Globu ya Jamii hivi Punde toka nchini Afrika Kunisi,inaeleza kuwa Waziri wa Fedha,Dkt. William Mgimwa (pichani) amefariki Dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Mediclinic Kloff,alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Mh. Mgimwa alikuwa akisumbuliwa na Maradhi ya Presha ambayo yalikuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.

Mungu aiweke mahala pema peponi roho yake

Amin.

Taarifa kamili itawajia muda mfupi ujao.

1 comment:

DR said...

Rest in peace the soul of Dr Mgimwa a cool person down to earth to work with, gone to early Dr ,but WE THANK GOD FOR EVERY THING.
AMEN