ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, March 15, 2014

CHAMA CHA MAPINDUZI D M V TAARIFA YA UCHAGUZI WA KATIBU WA TAWI

Tunapenda kuwaarifu wanachama wote wanaotaka kuchukua fomu za kugombea nafasi ya KATIBU WA TAWI Wakati ndio huu wachukue mwisho wa kuchukua fomu na kurudisha ni tarehe 5 april 2014 saa 12jioni na uchaguzi kufanyika tarehe 12 april 2014 sehemu utakapofanyika tutawajulisha Fomu zinapatikana kwa Mwenyekiti wa kamati ya Uchaguzi Hii ndio kamati ya uchaguzi Mwenyekiti Jabir Jongo 240 604 0574 Mjumbe Mwinyiheri Mkwavi 240 603 3274 Mjumbe Fadhil Londa 301 377 4920 Mjumbe Joel Lugendo 240 432 7621 U naweza kuwasiliana pia na KAIMU KATIBU WA TAWI Bi Salima Moshi 301 401 1547 KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

No comments: