Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya
pamoja na wajumbe wa Kongamano linalohusu Mkakati wa Kimataifa wa
Kuboresha Miundombinu katika Ukanda wa Kati (Central Transport Corridor)
baada ya kulifungua katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu
Nyerere jijini Dar es Salaam leo, Aprili 15, 2014 |
No comments:
Post a Comment