Uongozi wa shina la (CCM) Maryland unawaalika
wanachama wa ccm, wapenzi wa ccm na watanzania wote kwa ujumla kuhudhuria
sherehe za uzinduzi wa shina la (CCM) Maryland. Sherehe zitafanyika Tarehe 27
mwezi huu wa nne, 2014 katika ukumbi wa Tabeer Restaurant kuanzia saa 10 jioni
mpaka saa 2 usiku. Kutakua na chakula, vinywaji pamoja na viburudisho vya aina
mbalimbali.
Pia kwa wale watakaopenda kujiunga na shina
hili, form za uanachama zitatolewa siku hiyo.
Binadamu Wote ni sawa!! Karibuni waTanzania
Wote tusherehekee!!
Tangazo Limetolewa na UONGOZI wa Shina (CCM)
Maryland.
Kidumu Chama
Cha Mapinduzi!
2 comments:
Haya mashina ya ccm huku ya kazi gani, wakati watu wanakufa kwa njaa huko nyumbani, hizo fedha kama mnataka si mzitume huko nyumbani zisaidie mahospitali na shule..!?
Hongereni
Post a Comment