ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, June 5, 2014

KOPLO WA SKETI FUPI WA KENYA APANDA MAHAKAMANI KUTETEA KAZI YAKE

Linda Okella a akimbilia mahakamani baada ya wakubwa zake kutaka kumchukulia hatua ya kinidhamu wakidai alikosa nidhamu ya kikazi alivyovalia sketi fupi iliyoonesha umbo lake akiwa kazini. 

No comments: