Ni muda wa kuendelea kuipigia debe lugha yetu pendwa ya Kiswahili kwa
kuwa inazidi kukubalika na kutumika nje ya nchi na watu ambao labda
usingewategemea.
T.I ameingia katika rekodi ya wasanii wakubwa wa
Marekani waliowahi kuongea maneno ya Kiswahili katika wakati ambao hautarajiwi.
T.I amefunguka kwa Kiswahili alipokuwa akifanyiwa mahojiano na TMZ tena barabarani kuhusu ugomvi wake na Mayweather.
Jamaa hakutaka story zozote kuhusu ugomvi huo na kumwambia jamaa kuwa kila kitu kiko poa yaani Hakuna Matata.
‘Hakuna Matata’ that means everything is wonderful for the rest of your days.’
T.I ameingia katika rekodi ya wasanii wakubwa wa Marekani waliowahi kuongea maneno ya Kiswahili katika wakati ambao hautarajiwi.
T.I amefunguka kwa Kiswahili alipokuwa akifanyiwa mahojiano na TMZ tena barabarani kuhusu ugomvi wake na Mayweather.
Jamaa hakutaka story zozote kuhusu ugomvi huo na kumwambia jamaa kuwa kila kitu kiko poa yaani Hakuna Matata.
‘Hakuna Matata’ that means everything is wonderful for the rest of your days.’
No comments:
Post a Comment