Aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania (TPA), Ephraimu Mgawe na msaidizi wake, wamefikishwa katika mahakamani wakikabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka kwa kusaini mkataba wa kuipa kazi kampuni ya ujenzi ya China communications Ltd bila kutangaza zabuni
No comments:
Post a Comment