Advertisements

Tuesday, July 22, 2014

Je, jamii ingekuwaje bila dini?



Hebu tutafakari ingekuwaje bila dini. Ili kusaili hali hiyo ya kufikirika, hebu tuyasaili masuala haya kuona ikiwa dini inatufaa ama ndilo tatizo linalotukabili.


Je, dini zinamsaidia binadamu kumjua Mungu?

Je, bila dini tunaweza kuwa na uhusiano na Mungu?

Je, dini zinasaidia kujenga jamii ya watu waadilifu na wanyoofu?

Je, dini zinawasaidia waumini wa dini moja kuheshimu mitazamo ya waumini wa dini nyingine?

Je, dini zinasaidia kujenga upendano katika jamii?

Je, dini zinapunguza unafiki katika jamii?

Je, dini zinapunguza migongano na misuguano katika jamii?

Dini ni nini? Ni kumjua Mungu? Ni chama cha wanaomtafuta Mungu? Dini na imani vinauhusiano? Kwa nini dini?

Mimi nafikiri tatizo ni dini zenyewe na sio watu. Wewe unafikiri nini? Tungekuwaje bila dini?

Jumapili njema.

No comments: