Advertisements

Saturday, July 12, 2014

SHINDANO LA WANAWAKE WAREMBO VIBONGE HILI HAPA...CHECK OUT THIS BEAUTIFUL LADIES.

Shindano la aina yake kwa kina dada.limeanza Tanzania.kwa wale wakina dada wanye makalio makubwa na huna pa kuyapeleka na kuishia kupigiwa mbinja na wanaume mtaani.Sasa ni wakati wako wa kupata pesa kwa makalio makubwa ulio jaaliwa .

Hili shindano limeanza huko nigeria ambako lili fanyika katika hoteli maarufu sana nchin hapo.Na mshindi alizawadiwa gari la kifahari.dada huyo alishinda kwa kuwa na makalio zidi wenzake karibu mara mbili ya makalio yao. 
credit:BS

2 comments:

Anonymous said...

Hawa wanene sasa tunataka wafupi,

Anonymous said...

Mbona WEMA hayupo kwenye kundi hilo?