Acheni kuweka picha za kubiganya (photoshop) hizi. Tembo hawezi kuruka kiunzi. Tembo hukanyaga chocho kilicho kwenye mapito yake. Hivyo si rahisi kuruka gari hiyo natumbo lake liegame katikati ya gari. Au eti kuliegeme na gari liwe limesimama kama inavyoonekana.
Anyway, lakini pengine ni chemsha bongo kwa wapiaji wa blog hii.
2 comments:
Acheni kuweka picha za kubiganya (photoshop) hizi. Tembo hawezi kuruka kiunzi. Tembo hukanyaga chocho kilicho kwenye mapito yake. Hivyo si rahisi kuruka gari hiyo natumbo lake liegame katikati ya gari. Au eti kuliegeme na gari liwe limesimama kama inavyoonekana.
Anyway, lakini pengine ni chemsha bongo kwa wapiaji wa blog hii.
Nawasilisha.
duu ebwana eeh ingekuwa mimi nadhani ningesha kata roho yangu au kujiharishia si mchezoo.
Post a Comment