ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, October 12, 2014

WADAU WAKUTWA NA KAMERA YA VIJIMAMBO MGAHAWA WA SWAHILI WAKIPATA SUPU

Wadau wakijipatia supu kama walivyokutwa na kamera ya Vijimambo Jumapili ya Oct 12, 20014 katika mgahawa wa Swahili uliopo Beltsville, Maryland nchini Marekani.

1 comment:

Anonymous said...

yassin Randi tuna kumiss bwana kwenye kipindi cha kijiwe cha ughaibuni vipi utaibuka lini na msela benja. we really miss you man.

na unakunywa supu ya pweza nini na chapatti chapatti kwa raha zako mkuuu.