Advertisements

Sunday, November 16, 2014

PITA PITA YA VIJIMAMBO MGAHAWA WA SAFARI WASHINGTON, DC.

 Omby Nyongole akiwa na mama yake Mrs Nyongole walipokutwa na kamera ya Vijimambo ndani ya mgahawa wa Safari wenye chakula cha Bongo uliopo Washington, DC aiku ya Jumamosi Novemba 15, 2014 walipopitia kupa menyu ya chakula cha Kitanzania.
 MK akiwa na mwanae Nyangeta mara baada ya kupata chakula cha jioni ndani ya mgahwa wa Safari uliopo Washington, DC nchini Marekani.
 kutoka kushoto ni Mama Nyangeta, Rayson Jackson kutoka Houston, Texas na MK baba Nyangeta.
 Baba na mama Nyangeta.
 Simba Sakapala akijumuika pamoja kwenye chakula cha jioni.
 Dj Seif katika picha ya pamoja na Lilian muhudumu mgahawa wa Safari.
 Rayson Jackson katika picha ya upendeleo.

No comments: