
Theluji iliyoanguka siku ya Jumanne kuamkia Jumatano mji wa Buffalo jimbo la New York theluji iliyokanguka ilifikia futi 5 imesababisha vifo vya watu watano, wawili kati yao wamepoteza maisha kutokana na ajali za magari yao kuseleleka na wengine watatu wamekufa kutokana heart Attack. Pichani ni mkaazi wa Baffalo akijaribu kuparua theluji hiyo kabla haijaganda na kuwa barafu.
Mgari mengi yaliripotiwa kukwama kwenye mabarabara kutokana na theluji hiyo ilivyodondoka nyingi kwenye mwezi huu wa Novemba ambapo watabiri wa hali ya hewa wametabiri kuwepo na baridi kali kwenye kipindi hiki cha baridi na tayari maeneo mengi yameishaanza kupata salamu ya baridi hiyo.
Theluji ilivyotanda kwenye barabara mitaa ya Buffalo, jimbo la New York.

Magari ya kukwangua theluji yakiwa kazini mji wa Lancaster, New York

Mji wa Grand Rapids, Michigan, ukiwa umemezwa na theluji.
2 comments:
Kaka buffalo siyo jimbo(state) bali Ni mji*city* iliyopo katika jimbo (state) ya new york
Kwa iyo
Post a Comment