ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, December 9, 2014

DAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE

Inspector Haroun 'Babu' akifanya makamuzi wakati wa kilele cha EFM Bar kwa Bar Muziki Mnene ndani ya Dar Lve jana.
Nyomi iliyohudhuria sherehe za kilele hicho.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Burudani mwanzo mwisho.
DJ Makey akifanya yake stejini.
Ma DJ kutoka EFM wakitoa burudani.
Mtangazaji wa EFM Radio, Maulid Kitenge akiwaburudisha mashabiki.
Omary Katanga wa EFM naye akifanya yake stejini.
dWafanyakazi wa EFM Radio wakiwa katika pozi wakati wa kilele cha EFM Bar kwa Bar Muziki Mnene.
(PICHA NA PATRICK BUZOHELA / GPL)

No comments: