Siku zilizosalia za Diamond kuitwa ‘baba’ zinaendelea kuyoyoma. Zari The Bosslady, mchumba wake staa huyo wa ‘Mdogo Mdogo’ anayetarajia kumpa mtoto wake wa kwanza ameendelea kuonekana kama wasemavyo waingereza ‘very pregnant’.
9 comments:
Anonymous
said...
sikweli habari hii na hata ikiwa kweli ujuye itam cost sana domo domo diamond tena sana ajue tu huyu zarinnah si kama wala aliozoeaga kuwachezea chezea,huyu ni tafauti kabisa na si mwanamke mjinga.
habari hii kama kweli yetu macho tuangaliye mpaka mwisho wake.
Mikosi haimpati mtoto asilani itakupata ww mzazi kwani mtoto ana kosa gani, mtoto ni baraka usituletee mambo yako kujitia unajua mambo apa kwendraaaaaaaa
Kwendeni zenu na mawivu yenu ya kijinga!mnashindwa kuwapa hongera kwasababu mambu yenu yame kwama totorooo!mioyoni mnaumia.yamkini mkifuatilia kuzaliwa kwenu kunautata pia .mikosi itoke wapi wakati kuzaliwa kwao ni ruhusa ya mollah mwenye haki zote?waombeeni kila lililo la heri nanyi mtafanikiwa kwa upendo huo loh!mna roho mbaya hata kwa kijacho?tafuteni yenu pia tuwasikie sio kukosoa wenzenu na kuwawazia mabaya wenye kupendana eboh.uko sawa ndugu yangu ukweli ni wanatamani wangalikuwa wao ila watasubiri sana wenyewe wameshaonyesha njia yao
9 comments:
sikweli habari hii na hata ikiwa kweli ujuye itam cost sana domo domo diamond tena sana ajue tu huyu zarinnah si kama wala aliozoeaga kuwachezea chezea,huyu ni tafauti kabisa na si mwanamke mjinga.
habari hii kama kweli yetu macho tuangaliye mpaka mwisho wake.
wanazini tu bwana,kwanini hawajaoana,watoto wa kiislamu majina tu.kuzaa nje ya ndoa ni kuzini na kumletea mikosi mtoto dini zote zina kataza KUZINI.
Mikosi haimpati mtoto asilani itakupata ww mzazi kwani mtoto ana kosa gani, mtoto ni baraka usituletee mambo yako kujitia unajua mambo apa kwendraaaaaaaa
Zariha aka.zari bora angepata mimba ya nasib..maana wamezid..lakini kla day majanga
Poa Sana Bloger
Poa Diamond,mtaani Fanya Mambo By HKiller"kisogo
Mtoto hana kosa,,,,endelea kumimina mambo
Poa Sanaaa Diamond
Kwendeni zenu na mawivu yenu ya kijinga!mnashindwa kuwapa hongera kwasababu mambu yenu yame kwama totorooo!mioyoni mnaumia.yamkini mkifuatilia kuzaliwa kwenu kunautata pia .mikosi itoke wapi wakati kuzaliwa kwao ni ruhusa ya mollah mwenye haki zote?waombeeni kila lililo la heri nanyi mtafanikiwa kwa upendo huo loh!mna roho mbaya hata kwa kijacho?tafuteni yenu pia tuwasikie sio kukosoa wenzenu na kuwawazia mabaya wenye kupendana eboh.uko sawa ndugu yangu ukweli ni wanatamani wangalikuwa wao ila watasubiri sana wenyewe wameshaonyesha njia yao
Post a Comment