Thursday, March 12, 2015

KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA(LAAC) YATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MANGORA WILAYANI KARATU

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa,(LAAC) ikitembelea kukagua mradi wa umwagiliaji wa Skimu ya Mang'ora wilayani Karatu.
Baadhi ya Mashamba ya Vitunguu katika skimu ya umwagiliaji ya Mang'ora.
Watoto wakiwa wamebeba mazao wakitoka katika moja ya mashamba yaliyoko katika skimu hiyo.
Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa,Azza Hamad akiongozwa kuvuka katika mfereji wa maji katika Skimu ya Umwagiliaji ya Mang'ora wilayani Hai.
Mtoto akivusha mifugo yake katika mfereji wa maji ulioko katika skimu ya umwagiliaji ya Mang'ora.
Mfereji wa maji uliojengwa katika skimu ya Mang'ora kwa fedha za serikali ambao hata hivyo hautumiki.
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa,Azza Hamad akitizama mfereji wa maji katika skimu ya Maji ya Mang'ora iliyojengwa kwa fedha za serikali ambao hata hivyo hautumiki.

No comments: