ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, April 14, 2015

WALIOFARIKI KATIKA AJALI WAZIKWA PAMOJA MKOANI MOROGORO

 Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo akishiriki kwenye mazishi ya watu waliofariki kwenye ajali ya magari mawili ya lori na basi kugongana eneo la Iyovi Morogoro na kuzikwa Makaburi ya Msavu Wilaya ya Kilosa. (Picha na Said Powa)

No comments: