ANGALIA LIVE NEWS

Friday, April 10, 2015

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA AMALIZA MGOMO WA MADEREVA

Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT). Kauli hii imekuja baada ya madereva wa mabasi yaendayo mikoani pamoja na mabasi yanayofanya kazi ndani ya jiji la Dar es Salaam kugoma huku wakitaka kuongea na viongozi wa juu wa serikalini ili kutatua tatizo lao.(Picha kutoka Maktaba)



2 comments:

Anonymous said...

Hii Serikali yetu vipi? Kama hii sheria ilianzishwa in a good faith iweje ifyate mkia kirahisi namna hii.walianza wamachinga,Leo madereva,serikali haioni ina set a wrong corse, kwani kesho utasikia waalimu,madaktari,police. ..yetu macho.

Anonymous said...

Jamani hii serikali yetu jamani inasikitisha mno.. I can not believe wamekubali wakati watau wanakufa kila siku .madereva wanatakiwa wapate somo upya ili waendesha kwa usalama.