Advertisements

Wednesday, May 6, 2015

MAALIM SEIF AKITEMBELEA SEHEMU ZILIZOPATA MAAFA ZANZIBAR

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maeneo yaliyoathiriwa na mvua katika shehia za Mwanakwerekwe, Jang’ombe na Kwahani.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dkt. Khalid Salum, akimuonyesha Maalim Seif maeneo yaliyoathirika na mvua huko Mwanakwerekwe.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitoa maelekezo, wakati akitembelea maeneo yaliyoathirika na mvua katika manispaa ya Zanzibar.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiagana na Sheha wa Shehia ya Kwahani Bw. Nassir Ali Kombo, baada ya kutembelea maeneo yaliyoathirika na mvua katika shehia hiyo. (Picha na Salmin Said, OMKR) 

No comments: