BENJA MWAIPAJA AMWAGA CHOZI WAKATI WA KUMUAGA BALOZI LIBERATA MULAMULA
Benja Mwaipaja akionyesha kutokwa na chozi wakati Balozi Liberata Mulamula alipowaaga Watanzania nyumbani kwake Bethesda, Maryland siku ya Jumamosi Julai 25, 2015.
1 comment:
Anonymous
said...
Naona mh balozi anajaribu kumwambia Benja ulifanya makosa makubwa sana kuukana uraia wa tz na kuwa mmarekani. Sasa ile neema ya gas & mafuta watakayopata wa-tz huwezi kuifaidi. Benja chozii hiloooo likamuanguka hahaha
1 comment:
Naona mh balozi anajaribu kumwambia Benja ulifanya makosa makubwa sana kuukana uraia wa tz na kuwa mmarekani. Sasa ile neema ya gas & mafuta watakayopata wa-tz huwezi kuifaidi. Benja chozii hiloooo likamuanguka hahaha
Post a Comment