Marehemu Esther S. Mwaipasi enzi za Uhai wake
Mwili wa Marehemu ukiwa unaingia nyumbani
Baadhi ya Ndugu wa karibu wa Marehemu na waombolezaji wakiwa tayari kwa kuanza Misa ya kumuombea Marehemu
Mchungaji Dkt. Nzowa akiendesha Ibada ya Kumuombea na kumuaga Marehemu Esther S. MwaipasiMume wa Marehemu Esther Mwaipasi akiwa katika Majonzi
Baadhi ya watoto wa Marehemu
Mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt. Gwamaka akiwa katika majonzi wakati wa Ibada ya kumuombea Mama yao Mpendwa.
Mkuu wa kituo cha Polisi cha Nzovwe akitoa Salamu za Rambi Rambi
Mchungaji Dkt Nzowa wa pili kushoto akiongoza ibada ya Mazishi
Picha kwa hisani ya Mbeya Yetu
No comments:
Post a Comment