Advertisements

Friday, July 10, 2015

OKWI ATAMBULISHWA KLABU YA SONDERJYSKE YA DENMARK

Aliyekuwa mshambuliaji wa timu ya Simba SC, Emmanuel Okwi ametambulishwa katika klabu ya Sonderjyske inayoshiriki katika ligi kuu ya Denmark.

No comments: