KIGWANGWALA KAM-BEZA LOWASSA MTANDAONI, JIONEE HAPA
August 5-2015 alitumia page yake ya twitter kuyatoa yake ya moyoni kwa kuandika sentensi kadhaa kuhusu CHADEMA na Edward Lowassa kwa kuandika >>> ‘Baada ya safari ya matumaini kufa nimeambiwa Edward Lowassa ameiba jina la safari ya mabadiliko toka kwa Kigwangalla‘
kutafuta umaharufu usio na mpango, EL akiingia magogoni utajifisha wapi? huu ni mwaka hatari sana kwa CCM.
ReplyDelete