Wakoloni walipokuja walitukuta tukicheza ngoma, wakatutawala, wakachukua rasilimali zetu tukajitahidi kuwafukuza wakaondoka, tukajitawala wenyewe, tukajijeuza mafisadi na sasa tumerudi pale walipotukuta ( wacheza ngoma) namna hii hatutaacha kuitwa nchi maskini
hatutaki serikali ya namna hii tena ovyo ovyoo kuserebuka ovyooo wakati wananchi wanalala na nje ajira tata shule tata wao wanapeta na kula starehe.mwafyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Wakoloni walipokuja walitukuta tukicheza ngoma, wakatutawala, wakachukua rasilimali zetu tukajitahidi kuwafukuza wakaondoka, tukajitawala wenyewe, tukajijeuza mafisadi na sasa tumerudi pale walipotukuta ( wacheza ngoma) namna hii hatutaacha kuitwa nchi maskini
ReplyDeletehatutaki serikali ya namna hii tena ovyo ovyoo kuserebuka ovyooo wakati wananchi wanalala na nje ajira tata shule tata wao wanapeta na kula starehe.mwafyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
ReplyDeletena aende.aaaaaaaaaaaaaaaaaaaah.
yaani Rais asiache kufurahia eti watu wamelala na njaa, mwache rais acheze afurahie enjoy mr president!!!!
ReplyDeleteTime for change. Another side. Ukawa. Karibuni.
ReplyDeleteObama alipocheza Kenya wengi mlimsifia..Mfyuu, kusoma hamjui picha pia hamuoni ni party hiyo mlitaka akifika afanye nn?
ReplyDelete