Kamati Kuu ya Halmashauri
Kuu ya Taifa ya CCM inatarajiwa kufanya kikao chake cha siku moja mjini Dodoma
kesho Novemba 15, 2015 kujadili majina ya wana-CCM walioomba ridhaa ya
kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania.
No comments:
Post a Comment