ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, December 3, 2015

MKUU WA MKOA AZINDUA MTAMBO MAALUM ULIONUNULIWA NA MANISPAA YA KINONDONI

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadick akipanda kwenye mtambo maalum wa kuchimbia mitalo (Scaveter), wakati wa uzinduzi uliofanyika leo jijini Dar,Mtambo huo umenunuliwa na Manispaa ya Kinondoni  kwa  thamani zaidi ya Sh. Milioni 600.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni ,Mussa Natty akimshukuru Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadick baada ya kuzindua scaveter iliyonunuliwa na Manispaa hiyo leo  katika viwanja vya Manispaa , jijini Dar es Salaam.picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii

1 comment:

Anonymous said...

SCAVETA MILLION 600 WIZI MTUPU,WALIOHUSIKA WOTE NA WIZI HUU WAKAMATWE.BEI HALALI YA SCAVETA MPYA AINA YA CATERPILLAH NI SHILING MILLION 350.WAMEIBA MILLION 250 MHE.MAKONDA UPO HAPO?HUU WIZI UPO MIGUUNI KWAKO.