Saturday, January 16, 2016

DK. SHEIN AWAAPISHA MAKATIBU, MANAIBU NA MSHAURI WA RAIS IKULU LEO

Jaji Mkuu wa Zanzibar Sheikh Omar Othman Makungu(kulia) Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Said Hassan Said (kushoto) na Mshauri wa Rais Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bw.Abrahman Mwinyijumbeni miongoni mwa viongozi waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Mshauri wa Rais Utamaduni,Katibu Tume ya Mipango,naibu katibu Wizara ya katiba na Sheria na Katibu Kamisheni ya Utumishi wa Umma leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bw. Juma Hassan Reli kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,kabla alikuwa Naibu Gavana wa Benki ya Tanzania.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bw. Mdungi Makame Mdungi kuwa Katibu Kamisheni ya Utumishi wa Umma katika hafya iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bw. Kai Bashir Mbarouk kuwa Naibu Katibu Wizara ya Katiba na Sheiria katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo.
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Makame Mwadini pia walihudhuria katika hafla ya kuapishwa Mshauri wa Rais Utamaduni,Katibu Tume ya Mipango,naibu katibu Wizara ya katiba na Sheria na Katibu Kamisheni ya Utumishi wa Umma leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja

 Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Said Hassan Said (kushoto) na Mshauri wa Rais Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bw.Abrahman Mwinyijumbeni miongoni mwa viongozi waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Mshauri wa Rais Utamaduni,Katibu Tume ya Mipango,naibu katibu Wizara ya katiba na Sheria na Katibu Kamisheni ya Utumishi wa Umma leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bw. Chimbeni Kheir Chimbeni kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Utamaduni hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo.
Baadhi ya Makatibu katika taasisi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliohudhuria katika hafla ya Kiapo kwa wateuliwa na Rais wa Zanzibar walioapishwa leo ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja (Picha na Ikulu)

1 comment:

Anonymous said...

He is no longer a president why would he do this? Kwa kweli hii nchi unahitaji mabavu kuweza kuiondoa mikononi mwa mafisiEM