ANGALIA LIVE NEWS

Friday, January 15, 2016

MATOKEO YA KIDATO CHA PILI YATOKA YATIZAME HAPA

Baraza la mitiani NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha 2 kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana ambapo wanafunzi 324,068 sawa na 89% kati ya wanafunzi 363,666 waliofanya mtihani wamefaulu kuendelea na kidato cha tatu.


No comments: