Advertisements

Wednesday, June 29, 2016

RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI NA WAKUU WA WILAYA WAPYA

Kamishna wa maadili ya Utumishi wa Umma nchini Tanzania Jaji Mstaafu Salome Kaganda akitoa somo kwa wakuu wa wilaya wapya waliofika Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 29, 2016 kula kiapo cha maadili ya viongozi kabla ya kwenda kuapishwa na wakuu wa Mikoa katika vituo vyao vya kazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI, Mhe George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhandisi Mussa Iyombe wakiwa na sehemu ya Wakuu wapya wa Wilaya waliofika Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 29, 2016 kula kiapo cha maadili ya viongozi kabla ya kwenda kuapishwa na wakuu wa Mikoa katika vituo vyao vya kazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI, Mhe George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhandisi Mussa Iyombe wakiwa na sehemu ya Wakuu wapya wa Wilaya waliofika Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 29, 2016 kula kiapo cha maadili ya viongozi kabla ya kwenda kuapishwa na wakuu wa Mikoa katika vituo vyao vya kazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI, Mhe George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhandisi Mussa Iyombe wakiwa na sehemu ya Wakuu wapya wa Wilaya waliofika Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 29, 2016 kula kiapo cha maadili ya viongozi kabla ya kwenda kuapishwa na wakuu wa Mikoa katika vituo vyao vya kazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI, Mhe George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhandisi Mussa Iyombe wakiwa na sehemu ya Wakuu wapya wa Wilaya waliofika Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 29, 2016 kula kiapo cha maadili ya viongozi kabla ya kwenda kuapishwa na wakuu wa Mikoa katika vituo vyao vya kazi.

No comments: