Advertisements

Thursday, June 30, 2016

RAIS KAGAME WA RWANDA KESHO KUFUNGUA MAONESHO YA BIASHARA YA 40 YA KIMATAIFA DAR ES SALAAM, KUSINDIKIZWA NA RAIS DK.JOHN MAGUFULI

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Edwin Rutageruka (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akimkaribisha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage kuzungumza na wanahabari kuhusu ufunguzi wa maonesho ya biashara ya 40 ya kimataifa Dar es Salaam ambayo yatafunguliwa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana kuhusu Rais wa Rwanda, Paul Kagame kuzi

No comments: