VIDEO: MBUNGE LUGOLA ANENA MAZITO KUHUSU WABUNGE KUKATWA KODI YA MAPATO YA VIINUA MGONGO
Mbunge wa jimbo la Mwibara Kangi Lugola amesema kitendo cha Serikali kutaka kutaka kodi kwenye mapato ya viinua mgongo vya wabunge hakikubaliki na kumtaka Waziri wa Fedha na Mipango Dk Phillip Mpango kukiondoa kifungu hiCcho katika bajeti kuu.
No comments:
Post a Comment