Wabunge hao wamefanya hivyo mbele ya wageni mbalimbali wakiwemo mabalozi walioalikwa kusikiliza hotuba ya bajeti inayowasilishwa hivi sasa na Waziri wa Fedha, Dk Philip Mpango.
Leo imekuwa siku ya tisa wabunge wao wakitoka bungeni kusisitiza ujumbe wao huo huku wakiwa tayari wameandika barua ya kutaka Dk Tulia aondolewe kwa azimio la kutokuwa na imani naye.
No comments:
Post a Comment