Watanzania wanaohitaji huduma hiyo waje wamekamilika na vielelezo vyote na nini unachohitajika kuja nacho bofya hapa hii ni kuondoa usumbufu na kuokoa muda, wahi mapema kukamilisha taratibu zinazohitajika.
Huduma itatolewa kuanzia saa 9:30 alasili (3:30 pm) mpaka saa 12 jioni (6pm).
Kwa maelezo zaidi wasiliana na
Mwenyekiti wa UTNC
MPIGA PICHA ZA PASSPORT ATAKUWEPO GHARAMA NI $20 KWA PICHA 5
No comments:
Post a Comment