Advertisements

Friday, November 18, 2016

WAZIRI MAHIGA ASAINI MKATABA NA SERIKALI YA CHINA


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania Mhe. Dkt. Lu Youqing wakisaini Mkatababa wa makubaliano ya uwekwaji wa thamani katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Tukio hili limefanyika mapema leo Wizarani Jijini Dar es Salaam

Mazungumzo yakiendelea kabla ya kusaini mkataba

Mhe. Waziri Mahiga akifafanua jambo kwa Balozi wa China nchini Tanzania Balozi Dkt. Youqing walipokutana Wizarani Jijini Dar es Salaam

No comments: